Mafuriko Mashariki mwa Afrika yafurusha wakimbizi- UNHCR
Maelfu ya watu, wakiwa ni pamoja na wakimbizi, wanaendelea kukumbwa na mvua kubwa kufuatia mvua za El Niño na mafuriko makubwa yanayozikumba sehemu nyingi za Afrika Mashariki. Umoja wa Mataifa unataja wakimbizi walioathiriwa ni wale walioko Tanzania, Somalia na Burundi.