Mamlaka sahihi ya ulinzi wa amani DRC ni muhimu ili kuimarisha usalama-Tanzania
Nchini Tanzania hii leo walinda amani watatu wa taifa hilo waliouawa katika matukio tofauti ya mapigano huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC na Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR wameagwa rasmi katika tukio lililoongozwa na Waziri wa Ulinzi Dkt. Hussein Mwinyi.