Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

DR Congo

Afisa wa UNICEF azungumza na watoto kuhusu umuhimu wa kuzuia Ebola karibu na Mangina, Kivu Kaskakzini ,DRC
UNICEF/Mark Naftalin

Ebola sasa iko Butembo,  mashariki mwa DRC- UNICEF

Shirika la kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa la UNICEF linapanua wigo wa operesheni zake za kukabiliana na ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo,  DRC baada ya serikali kuthibitisha kuwepo kwa wagonjwa wapya wawili  kwenye mji wa Butembo, jimboni Kivu Kaskazini.