Mkuu wa UNHCR awataka wahisani kuisaidia Tanzania wakati ikiendelea kukirimu wakimbizi
Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR amewahimiza wahisani kuunga mkono zaidi suluhu za suala la wakimbizi na kusifu maendeleo yaliyopigwa katika ulinzi wa wakimbizi nchini Tanzania.