Hatua dhidi ya mabadiliko ya tabianchi: harakati isiyoweza kukomeshwa
Baada ya mkutano wa ngazi ya juu kuhusu hatua kwa tabianchi uliotanguliwa na harakati za vijana kutaka hatua, Katibu Mkuu wa Umoja Mataifa Antonio Guterres aliweka tafakuri yake kwenye tahariri iliyochapishwa na ubia wa vyombo vya habari 170 wenye wasomaji zaidi ya mamilioni.