Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Makala Maalum

Muuguzia nchini Ghana akimchoma mwanamke chanjo ya Corona
© UNICEF/Apagnawen Annankra

Benki ya Dunia yaingilia kati kukabili uhaba wa chanjo Afrika

Katika kufanikisha lengo la Muungano wa Afrika, AU kuhakikisha asilimia 60 ya wakazi wa bara lake wamepatiwa chanjo dhidi ya ugonjwa wa Corona au COVID-19 ifikapo mwaka 2022, Benki ya Dunia na AU wametangaza ubia wa kuunga mkono mpango wa kikosi kazi cha Afrika cha kupata chanjo hizo, AVATT utakaoruhusu nchi za Afrika kununua na kusambaza dozi za chanjo kwa ajli ya watu milioni 400 barani kote.

Sauti
1'55"