Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya Tabianchi

Mabadiliko ya Tabianchi
Ujumbe kutoka kwa Katibu Mkuu

Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio  Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

FAO/Luc Genot

Mafunzo ya kukabili mabadiliko ya tabianchi ni ufunguo wa kiuchumi kwa wananchi wa Madagascar

Wakati dunia ikishuhudia mwamko wa umuhimu wa kulinda na kuhifadhi mazingira kwa ajili ya kupunugza athari hasi za mabadiliko ya tabianchi, nuru imeangaza kwa wakazi wa mji wa Mangatsiotra nchini Madagascar kufuatia mradi wa kuwawezesha kukuza mazao yanayostahimili ukame na hivyo kuwa na uhakika wa chakula na pia kuongeza mapato ya wenyeji. Je nini kimefanyika? Ungana basi na Grace Kaneiya kwenye makala ha

Sauti
2'20"