Baada ya migomba kupata mnyauko, wakulima Kagera wageukia Mihogo
Nchini Tanzania wakulima kwa kushirikiana na serikali na shirika la chakula na kilimo duniani, FAO wanatekeleza mbinu za kilimo bora kwa lengo la kuhakikisha siyo tu wanakidhi mahitaji ya kila siku bali pia kuweza kuuza na pia kuhifadhi kwa siku za usoni.