Kenya na mikakati ya kukabiliana na COVID-19 wakati idadi ya wagonjwa ikiongezeka
Katika makala ya wiki hii tunakwenda Nairobi nchini Kenya, mwandishi wetu Jason Nyakundi anamulika harakati za kukabiliana na virusi vya Corona au COVID-19 na changamoto zitokanazo na hatua za kudhibiti kusambaa kwa virusi hivyo