Kenya na mikakati ya kukabiliana na COVID-19 wakati idadi ya wagonjwa ikiongezeka 10 Aprili 2020 Makala ya Wiki Pakua Katika makala ya wiki hii tunakwenda Nairobi nchini Kenya, mwandishi wetu Jason Nyakundi anamulika harakati za kukabiliana na virusi vya Corona au COVID-19 na changamoto zitokanazo na hatua za kudhibiti kusambaa kwa virusi hivyo Audio Credit Jason Nyakundi Audio Duration 5'48" Photo Credit © Julius Mwelu/ UN-Habitat COVID-19 Coronavirus Kenya