Mamia ya wakimbizi waliokuwa Burundi warejea makwao: UNHCR
Mwezi mmoja baada ya machafuko ya kisiasa nchini Burundi kulikosababisha kuzorota kwa ustawi wa kijamii na kiucumi husuani katika jiji la Bujumbura, wakimbizi waliokuwa wamejihifadhi nchini humo wameliomba shirika la Umoja wa Mataifa la wakimbizi UNHCR kuwarejeseha makwao huku wengine wakitaka kupelekwa sehemu zenye usalama zaidi.