02 Decemba 2021
Karibu kusikiliza Jarida miongoni mwa utakayosikia ni pamoja na
- WFP watoa picha na video kuonesha hali inayoendelea nchini Afghanistan na kuomba jumuiya za kimataifa kutenganisha siasa na misaada ya kibinadamu ili wawasaidia wananchi wanaoteseka.
- Wananchi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati wamewashukuru mapolisi wa Umoja wa Mataifa
- UNHCR ina wasiwasi na hali ya wakimbizi wa ndani ambao ni watu wa asili Waruo huko Guyana nchini Venezuela
pia utapata kusikia Makala kutoka Uganda na mashinani walichosema wanawake wa Burkina Faso