Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

02 Decemba 2021

02 Decemba 2021

Pakua

Karibu kusikiliza Jarida miongoni mwa utakayosikia ni pamoja na 

- WFP watoa picha na video kuonesha hali inayoendelea nchini Afghanistan na kuomba jumuiya za kimataifa kutenganisha siasa na misaada ya kibinadamu ili wawasaidia wananchi wanaoteseka.

- Wananchi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati wamewashukuru mapolisi wa Umoja wa Mataifa

- UNHCR ina wasiwasi na hali ya wakimbizi wa ndani ambao ni watu wa asili Waruo huko Guyana nchini Venezuela 

pia utapata kusikia Makala kutoka Uganda na mashinani walichosema wanawake wa Burkina Faso

Audio Credit
Flora Nducha
Sauti
14'8"