01 Desemba 2021
Pakua
Leo ni siku ya UKIMWI duniani karibu tuwe sote katika mada kwa kina ambayo inatupeleka makao makuu ya shirika la Umoja wa Mataifa la elimu , sayansi na Utamaduni UNESCO mjini Paris Ufaransa kuangazia mchakato wa kupitisha azimio la kuwa na siku ya Kiswahili duniani, Utasikia Azimio hilo linamaanisha nini? Na je baada ya kutengwa siku ya Kiswahili nini kinafuata?. Ungana na Flora Nducha aliyefanya mahojiano maalum na Balozi wa Tanzania huko Ufaransa Samwel Shelukindo
Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
12'46"