Hatua za kimataifa zahitajika kuzuia kusambaa kwa mafua ya nguruwe:FAO
Shirika la afya ya wanyama duniani OIE na shrika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO leo wamezindua mkakati wa pamoja wa hatua za kimataifa za kuzuia kusambaa kwa homa ya mafua ya nguruwe ya Afrika (ASF). Tupate maelezo zaidi na Assumpta Massoi.