13 SEPTEMBA 2022
Leo katika Habari za UN ni Mada kwa kina tukikupeleka Vanga Kaunti ya Kwale nchini Kenya ambako kwa miaka nenda miaka rudi sanaa imekuwa ikitumika kuhamasisha masuala mbalimbali yahusuyo jamii hiyo ambayo ni ya wavuvi.
Leo katika Habari za UN ni Mada kwa kina tukikupeleka Vanga Kaunti ya Kwale nchini Kenya ambako kwa miaka nenda miaka rudi sanaa imekuwa ikitumika kuhamasisha masuala mbalimbali yahusuyo jamii hiyo ambayo ni ya wavuvi.
Watu milioni 50 walikuwa wakiishi katika utumwa wa kisasa mwaka jana 2021, kwa mujibu Ripoti ya hivi karibuni ya makadirio ya utumwa wa kisasa duniani ambayo imetolewa na shirika la Kazi la Umoja wa Mataifa, ILO, Wakfu wa Walk Free na Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji IO
Katika Kijiji cha Kanyangapus Kaunti ya Turkana nchini Kenya hali ya ukame ni mbaya sana kila kona na moja ya athari kubwa zilizoambatana nao ni ukosefu wa maji.
Hii leo jaridani Flora Nducha anaanza kwa taarifa ya kwamba utumwa wa kisasa una aina mbalimbali ikiwemo kwenye ajira na pia kwenye ndoa. Kisha anakupeleka kaunti ya Tukrana nchini Kenya ambako UNICEF imenusuru wanawake na mwendo mrefu wa kusaka maji kwa kuwajengea mabwawa ya mchanga.
Katika Jarida la habari la Umoja wa Mataifa leo Ijumaa Flora Nducha anakuletea
Katika jarida la mada kwa kina hii leo kutoka Umoja wa Mataifa, Flora Nducha anakuletea
Kamati ya kudumu ya ulinzi na usalama ya Bunge la Tanzania imefanya ziara nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR ili kujionea shughuli za ulinzi wa amani zinazotekelezwa na vikosi vya nchi mbalimbali kupitia ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MINUSCA.