Kijiji cha kwanza nchini India kinachotumia nishati ya jua kinakuza nishati ya kijani, endelevu na inayojitegemea
Katika ziara yake ya siku mbili nchini India, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres alitembelea eneo la mradi wa mfano katika jimbo la Gujarat, lililoteuliwa kuwa kijiji cha kwanza cha nishati ya jua nchini humo.