Ni wakati wa kuhakikisha afya ya akili kwa wote ni kipaumbele cha kimataifa:Guterres
Wakati umefika wa kuhakikisha afya ya akili kwa wote inakuwa ni kipeumbele cha kimataifa amesema hii leo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akikisitiza kwamba hicho ni kipaumbele chake katika Umoja wa Mataifa na anafahamu kuwa ni changamoto kubwa kote duniani kushughulikia suala la afya ya akili. Flora Nducha na taarifa kamili