UNICEF yatandaza mabegi ya watoto kama makaburi ikitaka ulinzi zaidi wa watoto kwenye maeneo ya vita
Kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa, jijini New York, Marekani, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limetandaza mabegi 3,758 ya mgongoni yanayotumiwa na watoto wa shule kuonyesha madhara ya vita kwa watoto kwa mwaka 2018.