Ulinzi wa raia vitani- maneno mengi kuliko vitendo
Mizozo kote duniani inaibua vitisho na machungu kwa mamilioni ya raia wakiwemo wanawake, wasichana, wanaume, wavulana na watoto.
Mizozo kote duniani inaibua vitisho na machungu kwa mamilioni ya raia wakiwemo wanawake, wasichana, wanaume, wavulana na watoto.
Hii leo WHO ilikuwa na kikao cha kamati ya dharura kuangazia iwapo mlipuko wa Ebola huko DRC unasababisha udharura katika afya ya umma ulimwenguni au la. Wataalamu wamekutana na kumshauri Mkurugenzi Mkuu naye ametangaza uamuzi wake.
Shirika la afya ulimwenguni WHO linapeleka timu ya wataalam 50 wa afya ya jamii nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC ili kusaidia serikali kupambana na mlipuko wa Ebola. Patruck Newman na taarifa kamili