Msemo wa ukielimisha mwanamke umeelimisha jamii wadhihirika Congo
Ndani ya misitu minene kaskazini mwa Jamhuri ya Congo, kunapatikana kundi la wanawake waliojitolea kusaidia jamii zilizoko maeneo ya ndani zaidi kutokomeza utapiamlo.
Ndani ya misitu minene kaskazini mwa Jamhuri ya Congo, kunapatikana kundi la wanawake waliojitolea kusaidia jamii zilizoko maeneo ya ndani zaidi kutokomeza utapiamlo.
Kupoteza mtoto wakati wa ujauzito au ujauzito usio riziki bado ni jambo linaloonekana kama mwiko kulizungumzia ulimwenguni kote, mwiko unaoambatana na unyanyapaa na aibu. Wanawake wengi bado hawapati matunzo sahihi na ya heshima wanapopoteza ujauzito au kupoteza mtoto wakati wa kujifungua.