Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

27 Juni 2019

27 Juni 2019

Pakua

Miongoni mwa habari anazokuletea hii leo arnold Kayanda katika Jarida laletu ni pamoja na 

-Halahala yatolewa na shirika la afya ulimwenguni watu kupata chanjo ya surua kabla ya kwenda nchi zenye mlipuko wa ugonjwa huo

-Nchini Mali tunamulika masuala ya ukwepaji sheria dhidi ya wanaoshambulia raia , uchunguzi ukifanyika chini ya mpango wa umoja wa Mataifa MINUSMA

-Madhila anayosimulia mkimbizi toka Yemeni kuwa kila anakokimbilia na wanawe, ni kaburi tu

- Makala yetu leo inatupeleka Uganda ambako chepuo yapigwa kutika mazingira ili kuepuka maafa ya mifugo

-Na mashinani tunabisha hodi Rwanda kumulika huduma za kuwasaidia wasichana shuleni wakati wa hedhi

Audio Credit
UN News Arnold/Kayanda
Audio Duration
12'43"