Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno La Wiki

Habari za UN

Methali: "Ukubwa jalala"

Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia methali isemayo “Ukubwa ni jalala.”

Sauti
1'39"