Methali: “Lakesho huonekana leo ila la jana halipingi la leo.”
Hii leo katika kujifunza Lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia methali isemayo “La kesho huonekana leo ila la jana halipingi la leo.”