Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Methali: “Lakesho huonekana leo ila la jana halipingi la leo.”

Methali: “Lakesho huonekana leo ila la jana halipingi la leo.”

Pakua

Hii leo katika kujifunza Lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia methali isemayo “La kesho huonekana leo ila la jana halipingi la leo.”

Audio Credit
Dkt. Josephat Gitonga
Sauti
1'7"
Photo Credit
Habari za UN