Msemo: "TABIA NI NGOZI"
Leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili tunakwenda visiwani Zanzibar huko Tanzania ambapo Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili la Taifa, Zanzibar, BAKIZA Dkt. Mwanahija Ali Juma anafafanua msemo TABIA NI NGOZI, karibu!
Leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili tunakwenda visiwani Zanzibar huko Tanzania ambapo Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili la Taifa, Zanzibar, BAKIZA Dkt. Mwanahija Ali Juma anafafanua msemo TABIA NI NGOZI, karibu!
Leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili tunakupeleka Baraza la Kiswahili la Taifa, Zanzibar, BAKIZA kwake Katibu Mtendaji Dkt. Mwanahija Ali Juma akifafanua methali “ACHEKAYE KOVU HAJAONA JERAHA.”
Katika kujifunza Kiswahili, leo mtaalam wetu Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, anatufafanulia maana ya msemo "FUNGA FUNGANYA", karibu!
Katika kujifunza Kiswahili mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , anatufafanulia maana ya msemo "FANYA ILHAM". Karibu!