Jifunze Kiswahili - Msemo: "FANYA ILHAM"
Pakua
Katika kujifunza Kiswahili mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , anatufafanulia maana ya msemo "FANYA ILHAM". Karibu!
Audio Credit
Onni Sigalla
Audio Duration
58"