Msemo: "TABIA NI NGOZI"
Pakua
Leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili tunakwenda visiwani Zanzibar huko Tanzania ambapo Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili la Taifa, Zanzibar, BAKIZA Dkt. Mwanahija Ali Juma anafafanua msemo TABIA NI NGOZI, karibu!
Audio Credit
Dkt. Mwanahija Ali Juma
Sauti
59"