Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Msemo: "TABIA NI NGOZI"

Msemo: "TABIA NI NGOZI"

Pakua

Leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili tunakwenda visiwani Zanzibar huko Tanzania ambapo Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili la Taifa, Zanzibar, BAKIZA Dkt. Mwanahija Ali Juma anafafanua msemo TABIA NI NGOZI, karibu!

Audio Credit
Dkt. Mwanahija Ali Juma
Sauti
59"
Photo Credit
Habari za UN