Jifunze Kiswahili - msemo, "Funga Funganya"
Pakua
Katika kujifunza Kiswahili, leo mtaalam wetu Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, anatufafanulia maana ya msemo "FUNGA FUNGANYA", karibu!
Audio Credit
Onni Sigalla
Audio Duration
50"