Neno la Wiki- "Msutu"
Leo katika kujifunza Kiswahili mchambuzi wetu kutoka Baraza la Kiswahili Tanzania , BAKITA Onni Sigalla Mhariri mwandamizi anafafanua maana ya neno "MSUTU"
Leo katika kujifunza Kiswahili mchambuzi wetu kutoka Baraza la Kiswahili Tanzania , BAKITA Onni Sigalla Mhariri mwandamizi anafafanua maana ya neno "MSUTU"
Ken Walibora mwanariwaya na mwanachama wa chama cha Kiswahili cha kitaifa cha Kenya anaichambua methali isemayo 'Daraja ukilibomoa ujue kuogelea'
Leo katika Neno la Wiki tunakwenda kwa mtaalam wetu wa kiswahili juma hili ambaye ni Mwanahija Ali Juma katibu mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar , BAKIZA anafafanua matumizi ya neno “WAME” katika sentensi yenye nomino mbili.
Mchambuzi wetu kutoka Baraza la Kiswahili Tanzania , BAKITA ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi anafafanua maana ya neno "MSUMBI"
Na leo katika neno la wiki inaelezewa sentensi ambayo imejadiliwa sana kwenye mitandao ya kijamii na kwingine isemayo, baba alimpiga binti yake kwa kuwa alilewa.
Mchambuzi wetu Ken Walibora, mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA anaelezea sentensi baba alimpiga binti yake kwa kuwa alilewa.