Neno la wiki-Baba alimpiga binti yake kwa kuwa alilewa
Pakua
Na leo katika neno la wiki inaelezewa sentensi ambayo imejadiliwa sana kwenye mitandao ya kijamii na kwingine isemayo, baba alimpiga binti yake kwa kuwa alilewa.
Mchambuzi wetu Ken Walibora, mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA anaelezea sentensi baba alimpiga binti yake kwa kuwa alilewa.
Audio Credit
Ken Walibora
Audio Duration
58"