Neno la Wiki- “Mtambua ndwele ndiye mganga”
Katika Neno la wiki hii Mchambuzi wetu ni mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA Ken Walibora ameangazia methali isemayo “Mtambua ndwele ndiye mganga”
Katika Neno la wiki hii Mchambuzi wetu ni mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA Ken Walibora ameangazia methali isemayo “Mtambua ndwele ndiye mganga”
Na katika neno la wiki juma hili ni Mwanahija Ali Juma katibu mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar , BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno “HIDAYA” ambapo anasema neno hili lina zaidi ya maana moja.
Katika Neno la wiki hii Mchambuzi wetu ni mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA Ken Walibora ameangazia methali isemayo "Mtoto wa nyoka ni nyoka."
Hii leo katika NENO LA WIKI, Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika vyuo vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo anatufafanulia methali za Kiswahili ambazo kwa mtazamo wake zinamkandamiza mwanamke katika jamii.
Mwanamke ni kama ardhi, yeyote anaweza kukaa.
Mwanamke ni bustani na mwanaume ni uzio
Mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake kwa mikono yake!
Mke hafikirii zaidi ya kitanda anacholala!
Maneno kwa mwanamke matendo kwa mwanaume!
Katika Neno la wiki hii Mchambuzi wetu ni mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA Ken Walibora ameangazia methali isemayo "mtaka unda haneni".