Neno la Wiki- Hidaya
Pakua
Na katika neno la wiki juma hili ni Mwanahija Ali Juma katibu mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar , BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno “HIDAYA” ambapo anasema neno hili lina zaidi ya maana moja.
Audio Credit
Mwanahija Ali Juma
Audio Duration
1'8"