Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mahojiano

UNIC Tanzania/Stella Vuzo

Nyanduga: Ibara ya 1 inabeba tamko la haki za binadamu kila nchi inawajibika kuitekeleza

Mwaka huu 2023 tamko la haki za binadamu lililopotishwa katika azimio la mwaka 1948 linatimiza miaka 75. Msingi wa azimio la tamko hilo ilikuwa ni vita ya pili ya Dunia ambayo iliifanya dunia kutafakari nje ya kuhakikisha haki, Amani na utulivu vinadumishwa duniani. Kwa kutambua mchango wa tamko hiloleo tunaangazia ibara ya kwanza.

Sauti
7'1"