Kushiriki ulinzi wa amani kulibadilisha maisha yangu: Insp. Kaneng Muro
Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Walinda Amani leo Mei 29, tumezungumza na baadhi ya watu ambao wamejitolea kutoa huduma hiyo muhimu. Baadhi ya mambo tunayoangazia ni majukumu yao, walivyoitikia wajibu huo, changamoto walizokumbana nazo, na jinsi kuhudumu kama walinda amani kulivyobadilisha mtazamo na maisha yao.