Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida la Habari

1 DESEMBA 2022

Leo ni Siku ya Ukimwi duniani na jarida linakuletea mada kwa kina tukijikita kabisa nchini Nigeria, moja ya nchi za Afrika zilizo kusini mwa jangwa la Sahara ambako ripoti inasema hali si shwari ya maambukizi.  Pia tunakuletea habari kwa ufupi na mashinani  

Sauti
13'4"