03 AGOSTI 2022
Hii leo jaridani tunamulika:
1. Kuruhusiwa kwa meli ya kwanza yenye shehena ya nafaka kutoka Ukraine kuelekea Lebanon tayari kuuzwa kwenye soko la kimataifa.
2. Wanufaika wa Chuo cha Mafunzo ya kutengeneza ndege zisizo na rubani, (drones) huko Malawi watoa shukrani kwa Umoja wa Mataifa, kulikoni?
3. Makala tunakwenda DRC ambako ni simulizi tamu na chungu miongoni mwa wakimbizi wa ndani na wakimbizi kutoka nje ya nchi kutokana na ukata unaokabili UNHCR