Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida la Habari

1 Juni 2022

Jaridani Jumatano Juni Mosi-2022 na Leah Mushi

-COVID-19 na vita ya Ukraine vyakwamisha leo la upatikanaji wa nishati kwa wote:UN

-UNICEF Rwanda yawezesha uanzishwa wa vituo vya kulelea watoto wa wafanyakazi wa migodini.

-Kwenye makala ni mradi wa tathmini ya upimaji stadi za maisha unaotekelezwa na taasisi ya Milele Zanzibar Foundation na kwa kushirikiana na shirika la Uwezo Tanzania ili kuchagiza maendeleo endelevu.

Sauti
13'7"