1 Juni 2022
Jaridani Jumatano Juni Mosi-2022 na Leah Mushi
-COVID-19 na vita ya Ukraine vyakwamisha leo la upatikanaji wa nishati kwa wote:UN
-UNICEF Rwanda yawezesha uanzishwa wa vituo vya kulelea watoto wa wafanyakazi wa migodini.
-Kwenye makala ni mradi wa tathmini ya upimaji stadi za maisha unaotekelezwa na taasisi ya Milele Zanzibar Foundation na kwa kushirikiana na shirika la Uwezo Tanzania ili kuchagiza maendeleo endelevu.