Jarida 02 Februari 2022
Miongoni mwa tuliyonano kutoka UN
Leo ni mara ya kwanza kuadhimishwa kwa siku ya kimataifa ya maeneo oevu tangu Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lipitishe azimio mwezi Agosti mwaka jana 2021. Tunabisha hodi nchini Laos kuona harakati za kuhifadhi maeneo hayo adhimu.
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto duniani, UNICEF limelaani vikali mauaji ya watoto 15 katika jimbo la Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.