01 JUNI 2021
Katika Jarida la Habari za Umoja wa Mataifa hii leo Leah Mushi anakuletea
-Ofisi ya Umoja wa Mataifa nchini Burundi leo imefunga mlango rasmi baada ya hali ya amani na utulivu kurejea nchini humo utasiki taarifa kutoka kwa washirika wetu Mashariki TV
-Baraza kuu la afya duniani limekunja jamvi likionya kwamba wakati afya iko hatarini basi kila kitu kipo hatarini kinachohitajika ni kuchukua hatua madhubuti kuepusha zahma.