Mataifa ya ASEAN ‘yaliwekwa vyema’ kuendeleza haki za binadamu, uhuru na uchumi imara wa kimataifa
Wakati “migawanyiko inayozidi” inatishia amani na usalama duniani, "mazungumzo ya hatari" yanazidisha mvutano wa matumizi ya nyuklia, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameauambia mkutano wa viongozi wa Asia huko Cambodia siku ya Ijumaa.