Surua yavaliwa njuga bara Asia

Mhudumu wa afya akitoa huduma ya jango kwa mtoto huko Bhutan , barani Asia.
Watoto takriban millioni 5 katika kanda ya Kusini-Mashariki ya Asia katika mpangilio wa shirika la afya dunia WHO, kila mwaka hukosa chanjo dhidi ya ugonjwa wa surua.