Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Usawa wa kijinsia waleta manufaa nchini Tonga

Usawa wa kijinsia waleta manufaa nchini Tonga

Ushirikishwaji wa wanawake katika kufanya maamuzi ya kijamii umewezesha maendeleo na utekelezaji wa miradi ya miundombinu mikubwa, kama vile ghati mpya na barabara ya lami katika eneo la Hunga nchi Tonga bahari ya pasifiki, vitu ambavyo kwa miaka mingi hawakuwanavyo. Miradi hii ilizunduliwa na serikali ya Tonga ikishirikiana na shirika la mfuko wa maendeleo ya kilimo, IFAD. Ungana na Selina Jerobon kwa undani zaidi..