Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Adha za mapigano zaendelea kuwatesa raia Jamhuri ya Afrika ya Kati

Adha za mapigano zaendelea kuwatesa raia Jamhuri ya Afrika ya Kati

Taarifa kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati zinaeleza kutoimarika kwa utulivu nchini humo ambapo hivi karibuni mapigano hayo yaliiubuka tena na kuzua hofu na mtafaruku kwa raia wa nchi hiyo ambao wamejikuta wakipoteza makazi.

Ungana na Joseph Msami katika mkala ifuatayo inayoangazia adha wanazokumbana nazo wakimbizi wa ndani nchini humo.