Leo ni siku ya Kimataifa ya Mshikamano kwa watu
Siku ya Kimataifa ya Mshikamano wa watu inaainisha umuhimu wa kuchukua hatua ya pamoja kwa maslahi ya watu wasiojiweza katika jamii amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki-moon.
(SAUTI YA JASON NYAKUNDI)