Utandawazi wenye usawa ni mujarabu wa kusongesha SDGs Afrika- Guterres
Umoja wa Mataifa umesema kuwa bara la Afrika linahitaji utawandazi wenye usawa ili liweze kunufaika na mfumo wa biashara duniani.
Umoja wa Mataifa umesema kuwa bara la Afrika linahitaji utawandazi wenye usawa ili liweze kunufaika na mfumo wa biashara duniani.
Wakati dunia ikiadhimisha siku ya kutokomeza ukeketaji, shirika la afya ulimwenguni, WHO limesema kitendo hicho kinadhoofisha uchumi pamoja na nguvu kazi.
Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP linashtushwa na hofu mpya ya viwango vya janga la njaa wakati huu likikabiliwa na ukata wa fedha za msaada huko Sudani Kusini