Penye nia pana njia- Mikoko Pamoja
Wakazi wa Gazi na Makongeni huko Kwale mjini Mombasa nchini Kenya waliamua kushikamana na kulivalia njuga suala la uhifadhi wa mazingira kwa kuanzisha mradi ambao pia unawakwamua katika umasikini.
Wakazi wa Gazi na Makongeni huko Kwale mjini Mombasa nchini Kenya waliamua kushikamana na kulivalia njuga suala la uhifadhi wa mazingira kwa kuanzisha mradi ambao pia unawakwamua katika umasikini.
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR linasema haba na haba hujaza kibaba kwa wakimbizi, hususani ambao sasa wamepata maskani ya kudumua na kuanza kujenga upya maisha yao kama binti sandrine kutoka Burundi.Siraj Kalyango anatupasha zaidi
Katika Jarida la Umoja wa Mataifa hii leo tunaanzia huko DR Congo, ukiukwaji wa haki za binadamu wafurutu ada.
Nchini Uganda, milipuko ya homa ya Kongo na Bonde la Ufa yarejea.
Hatimaye vuta nikuvute ya uchaguzi nchini Liberia imefikia ukingoni baada ya mshindi aliyepatikana sasa kuapishwa rasmi kuwa Rais wa nchi hiyo. Naye si mwingine bali ni George Weah, msakata kabumbu wa kimataifa ambaye sasa ametundika daluga na kujikita katika siasa.