Mkutano wa DPI/NGOs kuzingatia taathira za uchafuzi wa hali ya hewa duniani
~Mkutano shirika wa mwaka wa Idara ya Habari kwa Umma ya UM (DPI) pamoja na jumuiya za kiraia (NGOs) ulianza kikao chake cha siku tatu katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa wiki hii. Mada ya mwaka huu ilisema “Mabadiliko ya Hali ya Hewa: Namna Yanavyotuathiri Sisi Sote.”