Kiswahili ni lugha ya taifa na kila mtoto ikiwemo walio na ulemavu wafundishwe-Seneta Inimah
Kuwa mlemavu sio kulemaa na unastahili kupata haki zote kama wengine , iwe elimu, afya na hata kutoachwa nyuma katika malengo ya maendeleo endelevu au SDG's, amesema seneta wa Kenya ambaye yeye mwenyewe ni mtu mwenye ulemavu.