Si vita wala madhila vilivyo na dalili za kuisha Syria: Egeland
Si vita nchini Syria wala mfululizo wa madhila kwa mamilioni ya watu vilivyo na dadili ya kumalizika ameonya leo Jan Egeland akitoa taarifa kuhusu hali ya kibinadamu kwa taifa hilo lililoghubikwa na vita vya zaidi ya miaka saba sasa.