Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

DR Congo

Mhudumu wa afya akimchanja dhidi ya Ebola, mwanaume mjini Beni, mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC.
World Bank/Vincent Tremeau

Mlipuko wa 12 wa Ebola Kivu Kaskazini umetokomezwa - WHO 

Shirika la afya la Umoja wa Mataifa, WHO hii leo kupitia taarifa iliyotolewa mjini Brazzaville Congo na  Kinshasa, DRC, limetangaza kumalizika kwa mlipuko wa 12 wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, miezi mitatu tu baada ya mgonjwa wa kwanza kuripotiwa Kivu Kaskazini.